SERENGETI

Serengeti, The Proud Of Africa.

Sunday, April 17, 2016

GOD'S PROVISIONS God created us with complete purpose. And in us he put the potential to accomplish the dreams we have. There is vision in every man's heart but we sometimes give up our VISIONS because we see them as impossible. The reason that make us perceive our VISION as unattainable is because we compare the big picture we have of our vision with our current situations. The truth is that, our current ability will always looks tinny as...

Tuesday, April 1, 2014

LOVE: THE PILL MOST PEOPLE MISSED

I love you! If I may ask you who was the first person to speak these words to you in your life? Try to remember the first person to speak these words to you, and how you felt. Okay, when you remember his or her words what comes in your mind? What do you feel about love? How do you understand about love?    Many understand love more romantically and emotionally than the really love itself. Yes! Love has emotions but it’s not emotion....

Thursday, March 27, 2014

BUNGE LA KATIBA NI DARASA KWA WATANZANIA

Namna ya kulitazama Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea kwa mtazamo mpya. Bunge hili lisiwe sehemu tu ya kutukera wananchi au kutuchekesha ila liwe DARASA la kisiasa kwa watanzania.  NI rai yangu kwamba mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba la Tanzania litufundishe siasa na wanasiasa. Tutazame tabia za wajumbe wa Bunge la Katiba... Tufuatilie maneno yao, vyama wanavyotoka, taasisi wanazotoka na tufuatilie na historia zao. Nimejaribu kufanya...

Monday, March 24, 2014

WATANZANIA WANAHITAJI DIKTETA?

Udikteta ni mfumo wa kiutawala ambao mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu huwa na mamlaka yote katika nchi au Taifa ambayo mara nyingi huyapata, kwa kutumia nguvu. Ikiwa amepata madaraka kwa njia ya demokrasia ili awe dikteta ni lazima endeshe nchi kinyume na misingi ya demokrasia. Kwa hiyo dikteta hafuati kanuni za kidemokrasia na wala si lazima afuate sheria halali za nchi. Kiongozi dikteta si lazima apendwe na watu. Si lazima atekeleze sera mlizojiwekea. Dikteta anaweza kufanya au kuwafanyia lolote ambalo anaona linafaa, kwa...

Saturday, March 22, 2014

TANZANIA, AFRIKA NA VIONGOZI WETU

Watanzania tuna kazi kubwa sana kwa ajili ya Taifa letu. Ni wakati wa kuwajibika na si kukata tamaa japo mazingira yanatusukuma kukata tamaa. Tusimlaumu anayekosea, kama ni mwelewa tumsaidie la kama sivyo ni vema tuchukue hatua madhubuti kumshughulikia kwa mujibu wa sharia taratibu na kanuni stahiki. Kila mmoja ajione kuwa ana deni na nchi hii nzuri yenye mali nyingi sana....

Monday, March 17, 2014

NANI ASIYEGUSWA NA SIASA?

Kwa ufupi hakuna mtu  anayeweza kukwepa kuathiriwa au kuguswa na masuala ya uongozi. Haijalishi unafanya kazi halali au haramu huwezi kukwepa athari za siasa. Unaipenda nchi yako au huipendi siasa na masuala ya uongozi wa nchi yako una sehemu kubwa katika kujenga mazingira ya nchi yako.  Tunayo mifano mingi ya nchi na mataifa mbalimbali yenye vita na machafuko ya kivita. Tunaona matokeo yake wazi kabisa. Wapo wanawake, watoto, wazee na hata vijana wanaoteseka na hata kufa au kuuawa. Wengine hupoteza makazi yao na kulazimika...

Saturday, March 15, 2014

TUMEAMUA KUHARIBU UWANJA WETU WA TAIFA?

Kwa muda sasa nimekuwa nikitafakari sana juu ya mambo yanayotokea Uwanja wa Taifa hapa Dar es Salaam. Utasikia uharibifu wa vifaa mbalimbali vya uwanja n.k. Washabiki na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu (Soccer) ninahitaji mnijuze, mnijibu maswali yangu na mnifafanulie nini cha kufanya: Hivi mtu anapovunja kiti, sababu hasa inakuwa ni nini? Je ni tatizo la akili au ni elimu duni na kukosekana kwa ustaarabu? Mtu anapofungua koki ya maji au...

Wednesday, March 12, 2014

WENGI HAWAJUI MAANA YA SIASA: WEWE JE?

Nitakuwa na mfululizo wa somo la siasa. Fuatilia hapa. Siasa ni neno pana nitajaribu kulieleza na kufafanua kwa mwelekeo wa nchi au Taifa. Ninajua wapo wanaodhani katika makanisa na misikiti hakuna siasa. Ukweli ni kwamba utakuwa huelewi tu lakini siasa ipo kila mahali isipokuwa mbinguni na jehanamu. Kila mahali kuna namna fulani ya uongozi. Iwe ni kanisani, msikitini na hata kwenye familia kuna mfumo wa uongozi na usishangae nikikwambia kuwa kuna siasa pia. Siasa ni njia au mbinu zinazotumika kusimamia, kuongoza au kutawala...

READ THE INTRODUCTION OF THIS BOOK

This is the introduction of the new book by Dr. George Adriano to be Published soon!  I would like to welcome you at this very moment to share the Good News which will dramatically transform your life forever. I feel very privileged to have a person like you to share this good news. I need to go with you through the Scriptures and look them very closely. At the point you finish reading this book, I believe you will never be the same. I...

BECOMING YOURSELF COMING SOON

...

SERENGETI THE PROUD OF AFRICA

...

WELCOME TO AFRICAN LIVES! FOR YOUR PERSONAL DEVELOPMENT

...

Wednesday, February 19, 2014

Kukata Tamaa Kunaua Taifa

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Wednesday, November 13, 2013

"THE POWER OF CHOICE" FOR SALE!

The POWER OF CHOICE, is now available in the market at only 5,000/= Tshs. The book aimed at helping people to positively changed their attitude and hence their life. In fact it is an amazing book to teach you life skills, motivate, inspire and direct you on how to CHOOSE, to make DECISION of your own life. The POWER OF CHOICE will revive your mind energy, to handle and master your life. The book is currently available in bookshops, University and college. 1. St. Augustine University - Mwanza:  Ms. Ushindi 0768649738 au Mr. John Mwaigomole...

Wednesday, October 16, 2013

True Knowledge

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...